Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HUU SIO MCHEZO BALI NDIO MAISHA YA WAKAZI WA RUNGWE, ZAIDI BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


Kukosekana kwa daraja katika mto Mbaka unaotenganicha kitongoji cha Kibundugulu na kijiji cha Mbaka wilayani Rungwe kumekuwa kukisababisha maafa ya mara kwa mara kwa wananchi ambao hulazimika kuvuka mto huo kwa kamba na wengine kupiga mbizi kwa ajili ya kufuata huduma muhimu za kijamii ng’ambo ya mto huo.

Kero ya kukosekana kwa kivuko kwenye mto Mbaka imesababisha athari kubwa kwa wananchi wa kitongoji cha Kibunduguru, hali ambayo imemlazimu mbunge wa jimbo la Rungwe Sauli Henry Amon kutoa taarifa katika ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa ili serikali iweze kuchukua hatua za kuwasaidia wananchi hao.

Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia maafa, Mheshimiwa Jenesta Joachim Mhagama amelazimika kutembelea eneo hilo na kutoa agizo kwa mwenyekiti wa kamati ya maafa mkoa wa Mbeya, kufanya tathimini ya athari za mto huo na kupeleka taarifa ofisini kwake ili serikali iwezi kuchukua hatua za haraka.

Hata hivyo afisa mipango wa wilaya ya Rungwe, William Makufwe amesema kuwa tayari halmashauri yake imeanza kuchukua hatua za kujenga kivuko cha miguu kwenye mto huo, mradi ambao hata hivyo haujawahi kupata fedha za kuukamilisha.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top