Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WIZARA YA FEDHA IMEIPATIA IDARA YA MAHAKAMA TSH12.3BILLIONS, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wizara ya fedha imeipatia idara ya mahakama Sh bilioni 12.3 kuboresha utendaji kazi.

Wizara ya fedha imetimiza ahadi ya rais Dr. John Magufuli aliyotoa siku nne zilizopita kwa idara ya mahakama wa kuipatia idara hiyo shilingi bilioni 12.3 ili ziweze kusaidia uendeshaji wa mahakama nchini hasa usikilizaji wa kesi zinazohusiana na kodi.

Fedha hizo zimekabidhiwa kwa idara ya mahakama na waziri wa fedha na mipango Dr.Philip Mpango ambapo amesema serikali inatumaini utendaji kazi wa mahakama sasa utafanyika kwa kasi zaidi.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top