Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAHAMIAJI HARAMU 13 WAKAMATWA MPAKANI MWA TANZANIA NA KENYA, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


Wahamiaji haramu 13 raia wa Ethiopia wamekamatwa mpakani mwa Kenya na Tanzania.

Wahamiaji haramu 13 raia wa Ethiopia wamekamatwa katika kichaka eneo la Horohoro mpakani mwa Kenya na Tanzania huku baadhi yao wakiwa na hali mbaya kiafya kwa madai ya kutembea katika kipindi cha mwezi mzima hadi kuingia nchini bila kula chakula cha uhakika.

Wahamiaji hao wamekamatwa na idara ya uhamiaji kwa kushirikiana na jeshi la polisi kufuatia timu maalum iliyoundwa na watendaji wa serikali waliopo katika eneo la Horohoro mpakani mwa Kenya na Tanzania kufuatia kuwepo kwa mtandao wa kusafirisha wahamiaji hao kuwapeleka Afrika ya Kusini.

Katika operesheni hiyo baadhi ya wakaguzi wa mamlaka ya chakula na dawa nchini tawi la Horohoro wameanza operesehni ya kukagua vyombo vyote vya usafiri ikiwemo magari ya abiria ili kubaini bidhaa zilizopitwa na muda wake kwa lengo la kunusuru afya za watanzania.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top