Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TUNDU LISSU AHAIDI KUACHIA UBUNGE NA NYADHIFA ZAKE ZA CHAMA.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Habari hii nimekutananayo kwenye group moja la WhatsApp ikisema, Mwanasheria nguli ndugu Tundu Antphas Mung'wai Lissu ameahaidi kujiuzulu ubunge wake kama mteja wake Ezekiel Wenje akishindwa kesi dhidi ya mbunge wa sasa wa jimbo la Nyamagana bwana Mabula.

Hii imekuja mara baada ya mahaka jijini Mwanza kuamru pande zote kuleta vithibitisho vya ushindi wa ubunge wao! Ndugu Mabula alileta masanduku ya kura kutoka jiji kama ushaidi tosha unaohalalisha ushindi wake, wakati Wenje alileta form no 21 inayoonyesha sahihi za mawakala wa vyama vyote huku form hiyo ikionyesha kushindwa kwa Mabula.

Mahakama ilimtaka ndugu Mabula kuonyesha ushahidi mwingine tofauti na masanduku ya kura, mabula alisema nyaraka zingine alizichoma moto kwani aliona hazina tena maana kwake.

Mara baada ya mahakama kuairisha kesi hiyo mpaka hapo baadae tarehe itakapotajwa, mwanasheria machachari ndugu Tundu Lisu alimfuata bwana Mabula na wakili wake na kumweleza "Endapo Ezekiel Wenje hatashinda kesi basi kesi nitalazimika kukununulia gari yenye thamani ya pesa za kitanzania 25 ml na nitajiuzulu ubunge na nyadhifa zangu zote ndani ya chama changu" alisema Lissu.

Je kuna ukweli wowote juu ya habari hii?
Chanzo ni #Christian 

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top