Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU KUBEBA ABILIA ZAIDI YA LEVEL SEAT

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Jeshi la Polisi limeagiza maaskari nchi nzima kufanya operesheni maalum ya kuwakamata madereva bodaboda na abiria wanaukubali kupanda zaidi ya wawili-maarufu mishikaki- na wanaopita katikati ya magari na kuwasweka rumande kabla ya kuwafungulia mashtaka ya kuvunja sheria ya usalama barabarani.

Akitoa agizo mbele ya waandisihi wa habari, msemaji wa jeshi la Polisi makao makuu ya Polisi SSP Advera Bulimba amesema opereshani hiyo itaenda sambamba na kuwakamata madereva bodaboda  wanaohatarisha maisha ya wananchi na vyombo vya usafiri kwa kupita katikatio ya magari, pamoja na madereva walevi.

Kuhusi siku kuu ya Maulid, X-mas na mwaka mpya, amesema jeshi la Polisi limewataka wananchi kutoa taarifa mapema iwapo wanaona sura ya watu wasioeleweka katika maeneo yao.

Pamoja na viashiria vingine vya uvunjifu wa amani ili ziweze kuchukuliwa hatua za haraka ambapo amewataka wamiliki wa kumbi za starehe kutojaza watu kupita kiasi.

Pia ikumbukwe kwamba magari yote nchini yamepigwa marufuku kubeba abiria zaidi ya level seat, na wameongeza kwamba gari litakarokamatwa sheria itawachukulia hatua dreva pamoja na abilia wote watakaokuwa wamezidi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top