Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MUAFAKA JUU YA TAKATAKA ZILIZOKUSANYWA DEC9

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
HABARILEO. Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini wametakiwa kuhakikisha takataka zote zilizolundikwa wakati wa kazi ya usafi iliyofanyika Desemba 9, nchini kote zinaondolewa.
 
Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene wakati akizungumza na watumishi wa wizara hiyo mjini hapa, na kuagiza kuwa ifikapo Desemba 20, mwaka huu takataka zote zilizolundikwa ziwe zimeondolewa.


“Naagiza wakuu wa mkoa, wilaya na wakurugenzi kuwa ifikapo tarehe 20 mwezi huu takataka zote ziwe zimeondolewa katika maeneo yao,” alisema Simbachawene na kuongeza kuwa hategemei kusikia baada ya tarehe hiyo takataka kuwa bado zimelundikana kwenye maeneo mbalimbali.

Kumekuwapo na mlundikano wa takataka katika maeneo mbalimbali ya miji nchini na kuwa uchafu baada ya kazi ya usafi ya Desemba 9, nchini kote kutokana na agizo la Rais John Magufuli la kufuta sherehe za sikukuu ya Uhuru na badala yake siku hiyo itumiwe kufanya usafi katika maeneo mbalimbali nchini.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top