Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KAMA RAIS TUMEMPATA, UNATAKA KUJUA ZAIDI? BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Rais John Pombe Magufuli anaendelea kutimiza ahadi yake ya kuleta mabadiliko Tanzania kama alivyoahidi, akichukua hatua za kupambana na ufisadi na kuhakikisha kuna uwajibikaji serikalini.

Miongoni mwa hatua za karibuni ni pamoja na kumuondoa kwenye wadhifa wake Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na rushwa TAKUKURU Dr Edward Hoseah aliyeteuliwa na rais wa zamani Jakaya Kikwete mwaka 2006 pamoja na maafisa wengine wanne.

Magufuli anasisistiza anataka maafisa watakaoendana na kasi yake, kwa kuzingatia kauli yake mbiu "Hapa kazi tu." Mpaka sasa amepata uungaji mkono wa viongozi wa upinzani na sehemu kubwa umma.

Swali ni jee atafanikiwa? Tume maoni yako 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top