Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TAASISI YA SEKTA BINAFSI NCHINI TPSF YAWAOMBA WANANCHI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Taasisi ya sekta binafsi nchini - TPSF imewaomba wananchi na wadau wengine kwa ujumla kudumisha amani na utulivu wakati na baada ya uchaguzi mkuu ili Tanzania iendelee kuwa na mazingira mazuri ya kufanya biashara na uwekezaji.

Akitoa tamko la sekta binafsi kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya sekta binafsi Tanzania -TPSF Bw. Godfrey Simbeye amesema biashara na uwekezaji ni nguzo muhimu za kujenga uchumi na kukuza pato la taifa litakaloiwezesha Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
 
Bw.Simbeye pia amevitaka vyombo vitaka vyosimamia uchaguzi mkuu kutenda haki kwa mujibu wa sheria, na kuwataka wananchi kuzingatia sheria na maelekezo yatakayotolewa na serikali.
 
Mkurugenzi huyo mtendaji amesema sekta binafsi imelazimika kutoa tamko hilo baada ya baadhi ya wafanyabiashara na wawekezaji kupenda kuhakikishiwa uwepo wa amani na utulivu ili waweze kuendelea na biashara zao.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top