Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAHAKAMA NCHINI KENYA YASIMAMISHA MGOMO WA WALIMU, SOMA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mahakama nchini Kenya imesimamisha mgomo wa walimu uliodumu kwa wiki nne na kuwaagiza walimu kurudi kazini mara moja.

Jaji Nelson Abuodha wa mahakama ya kiviwanda na masuala ya wafanyakazi amesimamisha mgomo huo kwa miezi mitatu na kuwataka walimu na serikali kuunda kamati ya kutafuta suluhu katika muda wa mwezi mmoja.

Aidha, ameiagiza Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kutowaadhibu walimu na kuwalipa mishahara yao kikamilifu, pamoja na marupurupu. Tume hiyo ilikuwa awali imetishia kutowalipa walimu “kwa siku ambazo wamesusia kazi”.

Mahakama hiyo ilitoa uamuzi huo katika kesi iliyokuwa imewasilishwa na TSC kutaka mgomo wa walimu uliosababisha kufungwa kwa shule zote za umma kutangazwa kuwa “usiolindwa kisheria”.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top