Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATU 109 WAMEPOTEZA MAISHA YAO KWA KUNYONGWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Watu 109 wamepoteza maisha yao kwa mda miezi 8 tangu mwezi January 2015 kwenye ukanda wa nchi za Kiarabu. (Arabic State )

Watu hao wamekufa kwa kifo cha kunyongwa, eidha adharani au kwasili kutokana na ukubwa wa makosa yao, huku ikitajwa kuwa asilimia kubwa kati ya hao wengi ni wageni kutoka mataifa mbalimbali.

Report hii imetolewa na mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini humo, huku akisema siovyema kuuwa watu kwa kuwanyonga kama ilivyo kwenye ukanda huu wa nchi za kiarabu.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top