Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

SABABU YA CHRIS BROWN KUTOKURUDIANA NA RIHANNA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mahusiano ambayo yalikuwa na visanga vingi, na pia watu walidhani labda siku moja watarudiana lakini kwa sasa hatimaye ndo mwisho hawawezi kurudiana tena, Rihanna na Chris Brown ni wapenzi ambao wameachana na kurudiana zaidi ya mara tatu, Chris Brown amekiri kwamba hafikiri tena kutoka na Rihanna, kwa sababbu anampenda sana.

“New Flame” singer Chris Brown mwenye umri wa miaka 26, alikuwa amebeba mzigo mkubwa sana kifuani kwake, anampenda sana Rihanna mwenye umri wa miaka 27, alitakiwa afanye maamuzi magumu kutokuwa na Rihanna tena, kutokana na chanzo kimoja ambacho kiliongea na HollywoodLife.com, wakati Chris B kila atakuwa akimpenda Rihanna, hataki tena kuumiza moyo wake tena.

2007 baada ya tuzo za Grammy Breezy alimjeruhi vibaya Rihana, Kwa miaka sasa wamekuwa wakiigiza tu urafiki wao lakini hakuna kilichotokea. Kwa sasa Breezy anasema kwamba hawezi kurudiana tena na Rihanna na kumpelekea uzuni ambao tayari ameshakutana nao, lakini anampenda sana.

 
 Chris Brown na Rihanna

Anajua anapenda wanawake na anajua anaweza akawa na yeyote anayemtaka, anagundiu kwamba na kitu alichotaka kukifanya ni kumuumiza Rihabba na sio kumpa alichohitaji, ambacho ni mapenzi na kujitoa kwake.
Ni kitu kizuri alichoamua Chris Brown, anataka Rihanna awe na furaha, akiwa nae au asipokuwa nae, Chris amejirekebisha na amekubali kwamba atamuumiza Rihanna, na kama Rihanna hataki hicho basi hawawezi kuwa pamoja, ni kitu kizuri hataki kumuumiza mtu amnae anampenda.

Katika mahusiano yake ya sasa na Karrueche Tran mwenye umri wa miaka 27, Chris hajawa na bahati kufanya mambo yaende sawia, baada ya kuwa na Karrueche Tran Julai 4, Chris alipost picha ikiwa na maelezo jinsi ilivyorahisi kuchukua lakini ngumu kupenda.

Hakuandika sentensi ya kweli! Sasa hatimaye ameamua kumuacha Rihanna aendelee na maisha yake, inawezekana ingawa anaweza akajitosa kwenye mapenzi na Karrueche na kutengeneza mahusiano yao ambayo yaliyumba, wana vitu vingi vya kufanyia kazi ili kusonga mbele, hii ndiyo price of fame.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top