Rabbit msanii kutoka pande za Kenya amedondoka Bongo kufanya video na G Nako, Joh Makini,Rich Mavoko..amesema amekuja kufanya kazi na Director wa huku..anataka kujaribu kufanya kazi na watu mbalimbali.
Pia mkongwe kutoka ECT, Crazy GK amesema kitu kinachomis kwenye muziki wa Tanzania ujuzi wa muziki…wengi wanajaribu bado hawana ujuzi wa kutosha kwenye muziki..
Jana kupitia ukurasa wake wa @Instagram Shamsa Ford alimshukuru Nay wa Mitego
kwa kumvalisha pete…Nay amesema amempa tu pete kama zawadi na si
kumvalisha..amesema anaona hiyo ni zawadi ambayo ataweza kumkumbuka nayo
tofauti na zawadi nyingine…amesema kama itakuwa vinginevyo atakuwa
tayari kuweka wazi.