Kama ni mfuatiliaji mzuri wa habari za
watu maarufu hapa Tanzania nadhani jina la Mboni Mhita kwako si ngeni
kutokana na kuzagaa kwa picha mbalimbali zilizodaiwa kuwa ni zake huku
baadhi ya watu wakijaribu kuzikataa picha hizo na kusema hazikuwa zake.
Picha hizo zilizokuwa zikionyesha baadhi ya sehemu za mwili wake kinyume
cha maadili ya kitanzania.
Baadhi ya picha zilizokuwa gumzo ni hizi hapa:
Sasa Mh. Mboni ameamua kuchukua fomu ya kugombea Ubunge kupitia Jimbo la Handeni vijijini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ccm.
Sasa Mh. Mboni ameamua kuchukua fomu ya kugombea Ubunge kupitia Jimbo la Handeni vijijini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies