Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

PICHA ZA GARI JIPYA LA KIFAHARI KUTENGENEZWA AFRICA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
150629164316_kantanka_640x360_bbc_nocredit
Ukipita barabarani ni kawaida kukutana na majina ya magari yaliyozoeleka kama Toyota, BMW, Benz, Suzuki, Honda… Hayo yote ni magari ambayo viwanda vyake viko nje ya Africa.
150629164416_kantanka_640x360_bbc_nocredit
Lakini ninayo good news kwamba huenda tukakutana na brand za magari yanayozalishwa hapahapa Afrika na ni magari ya kifahari kabisa ambayo unaweza kufananisha na Benz na BMW!

150629164510_kantanka_640x360_bbc_nocredit
Gari hii imetengenezwa Ghana, inaitwa Kantanka 4×4.. pichaz zake kuanzia inavyoanza kutengenezwa mpaka ilivyokamilika ziko hapa.

150629164138_kantanka_640x360_bbc_nocredit
150629164230_kantanka_640x360_bbc_nocredit
_83931119_83931118
Kan
Bei ya hii gari ni kama Pound 14,000 (Ukiileta kwenye Tshs. ni Milioni 43)
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top