Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MTAZAMO WA WANANCHI JUU YA WAGOMBEA URAIS MWAKA HUU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wagombea wetu ama watangaza nia tunawapima kwa kipimo gani? Na Je kipimo hicho kina usawa? Tukiacha ushabiki ulio wa wazi ni vigezo gani hasa tunatumia kuwapina?

Tunaposhurutisha Taifa na mgombea tunayemtaka kwa kuaminisha uwezo wa mgombea huku kiukweli tunajua uwezo una walakini je hiyo ni busara?? Na Je rekodi yake kiutumishi ni njema na inaridhisha??

Sizungumzi kwa siasa na vipimo vya majitaka, au hisia na uzushi usio na vithibitisho bali uwazi wa uwezo wa mgombea na uimara wake
Uimara wa mgombea uanze na uwezo wake na wapambe  wake kujihoji kwa dhati na si ushabiki kama kweli mgombea ana uwezo wa kweli kuwa Rais. Kazi hii ya urais ni ya dhamana na majukumu makubwa ambayo inahitaji akili na maarifa ya rais yawe na uwiano wa kufanya mambo kwa usahihi.

Urais ni ubaba  na ni dhamana kubwa sana, kwa kauli, utendaji na maamuzi yake yatalenga na kutolewa kwa umakini, usahihi, busara na hekima.

Urais unahitaji kutumia muda mwingi kufanya tafakari, kuwa na uwezo wa kiakili na kimwili kuhimili ugumu wa kazi na jukumu hili kubwa.

Hivyo tujiulize tunapotaka kuikabidhi kazi hii kwa mgombea fulani, je ni kweli ana uwezo wa kuihimili kazi hii na kuifanya kwa umakini kama inavyotakiwa kufanywa kisheria ??  

Mimi kwa leo sina mengi zaidi ya kusema "tutafakari tunapoelekea october"
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top