Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAKAMU WA RAIS NCHINI BURUNDI ATOWEKA NCHINI KWAKE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wakati kukiwa na sintofahamu kuhusu hatma ya uchaguzi mkuu wa Burundi unaotarajia kufanyika mwezi ujao kutokana na vurugu za kisiasa zinazoendelea kupinga kugombea tena kwa Rais Pierre Nkurunziza..headlines zimerudi tena nchini humo.

Makamu wa Rais wa nchini hiyo Gervais Rufyikiri ametoroka nchini humo na kudaiwa kimbilia Ubelgiji  baada ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo kuwania muhula wa tatu akiungana na makamishna wa tume huru ya uchaguzi na jaji mmoja wa mahakama ya kikatiba.

Licha ya msemaji wa serikali kukanusha madai hayo na kusema kuwa Rufyikiri amesafiri nje kwa ziara rasmi ya kikazi lakini mwenyewe baada ya kuhojiwa na Televisheni ya France24 amesema ameondoka baada ya kuhofia maisha yake kufuatia kumpiga Rais huyo kuwania kwa muhula wa tatu ambapo ni kinyume na sheria.

Burundi imeingia katika mgogoro wa kisiasa tangu rais Nkurunziza atangaze nia ya kuwania muhula wa tatu kuongoza nchi hiyo huku maelfu ya watu wakikimbia nchi hiyo kwa kuhofia maisha yao.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top