Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ALICHOKISEMA MHE.EDWARD LOWASSA ALIPOKUWA MKOANI RUVUMA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Hiki ndicho alichokisema waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa
amesema hana shaka na swala la kukatwa
jina lake katika vikao vya Chama cha
Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama
chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake
kuwa mgombea urais wa Tanzania.

Lowassa aliyasema hayo jana wakati
akizungumza na wanachama wa CCM na
wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi
kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa
shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM
zaidi ya elfu 52.

"Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977
nilipomaliza chuo kikuu, sijawahi kufanya
kazi nje ya CCM hivyo nakijua chama na
hakuna mgombea atakayeweza kuvunja
rekodi ya utendaji wangu katika chama, sasa
leo anayetaka kukata jina langu anatoka
wapi? anakata kwa sababu gani? 

Sioni kosa la kukatwa jina na Watanzania hawaoni, kwa hiyo msiwe na wasiwasi jina litarudi tu". alisema Lowassa.

Lowassa aliwasili Mkoani Ruvuma mapema
jana mchana akitokea Mkoani Iringa kwaajili
ya kusaka wadhamini katika mbio zake za
kusaka urais kwa tiketi ya chama hicho,
ambapo umati wa watu ulifurika kumlaki na
kupelekea kufunga barabara kuu ya mjini, hali
iliyompelekea Lowassa kupanda juu ya paa
la jengo la ofisi ya CCM Mkoa ili aweze
kuzungumza nao.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top