Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TAARIFA KWA WASAFIRI WA MASAFA MAREFU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Kampeni ya zuia ajali sasa yazinduliwa, ambapo abiria watakiwa kutoa taarifa kwa kutumia namba maalum ili kuzuia mwendo kazi wa magari/mabasi yaendayo mikoani pamoja na kupunguza vifo vya abiria.

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani  bwana Mohamed Mpinga ndiye alikuwa msemaji mkuu katika uzinduzi wa kampeni hii ya zuia ajali akishirikiana na Deogratius Rweyunga mkurugenzi wa radio one pamoja na  Bi. Rosalyin Mworia ambaye huyu ni mkuu wa Mawasiliano Vodacom Tanzania. 
Katika kampeni hii namba itakayotumiwa na abiria kutoa taarifa police juu ya gari ambalo linatembea kwa mwendokasi kinyume na matakwa ya abiria itakuwa ni 0800 757 575 Huduma hii ni kwa watumiaji wa simu mitandao yote, ambapo wewe abiria utatakiwa kutuma ujumbe mfupi kwa njia ya sms kwenda namba hiyo tajwa hapo juu. 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top