Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MWENDESHA BAISKELI ANUSULIKA KIFO MAENEO YA TIA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Katika hali ya kustaajabisha leo nyakati za saa mbili kasoro asubuhi mwendesha baiskeli amenusulika kifo baada ya kutaka kukatiza kwenye mataa yaliyopo katikati ya eneo la uwanja wa taifa pamoja na chuo cha uhasibu TIA.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendesha baiskeli, maana magari yalipo ruhusiwa na traffic ndipo na yeye alijichomeka kwenye msafara huo. Baada ya kujiingiza ndipo maswahibu yalipomkuta.
Gari aina ya daladala HICHE ndipo ilipo gonga baiskeli yake wakati huohuo mwendesha baiskeli huyo aliangushwa chini kisha mwendesha daladala akasimama, mbali na kutokea kwa ajali hiyo hakuna mtu aliye umia zaidi ya kuaribiwa kwa baiskeli ya muhusika tu.

 
Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top