Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

YAFAHAMU MATUNDA AINA YA MAHAMA KUTOKA TANZANIA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ndivyo Yanavyoitwa sehemu Mbali Mbali ni Matunda ya asili ambayo kwa Mbayo miti yake inafanana na Mnazi kwa kiasi kikubwa na tunda lenyewe kw haraka linafanana na dafu.

Matunda haya yanapatikana sana Sinyanga, Kahama, Maeneo mbali mbali ya mkoa wa Tabora kama vile kule Nzega Kijiji cha Mwanhala, Kigoma, Singida maeneo ya Iramba, Ikungi na kwingine. Nadhani yawezekana Simiyu, Geita kwa mgawanyo wa mikoa wa sasa.

 Ni matunda matamu sana kasoro ndogo ya matunda haya ni kwamba yana harufu nzuri inayopitiliza. Mwanza unaweza kuliogopa lakini ukilionja hutapenda kuacha kulila. Nililazimika kusimama Ikungi Singida kuyaangalia na nikanunua kwenda kuyajaribu. Nashukuru wadau mbali mbali Hapa FB na Sehemu zingine walionijuza zaidi kuhusu matunda haya. 

Ni wakati sasa wa Serikali kuwa na Mpango maalumu juu ya matunda ya asili yaweze kuwa na soko. hii itasaidia mambo makubwa mawili, 1. kuwapatia kipato wananchi lakini 2. itasaidia utunzaji wa mazingira maana mimea hiyo itakuwa na msaada mkubwa zaidi wa kiuchumi kwa wananchi.




Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top