Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

SIKU KUU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ILIVYOKUWA JANA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Jana ikiwa ni tarehe 12/01/2015 kwenye maadhimisho ya siku ya mapinduzi ya Zanzibar niliona amiri jeshi mkuu wa Zanzibar aliingia na mkuu wake wa majeshi ndani ya gari ya kijeshi na Kikwete akiangalia kama watazamaji wengine.

Jana sherehe ilipendeza sana, huku wananchi wakawaida pamoja na viongozi kutoka zanzibar na wale wa kutoka Tanzania bara wakiwa wameudhulia katika sherehe izi.



Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top