Mataperi watatu waliokamatwa jana kwenye eneo la NMB bank hapa Bigbon Sinza, jiadhalini ndugu zangu maana hali imebadirika sana kwenye jiji letu hili la dar es salaam Tanzania.
Inshu nzima ilikuwa hivi jamaa wamejifanya ni wakulima wameokota dhahabu huko geita kwa hiyo hawajui chochote kuhusiana na bei ya dhahabu hizo ndio jamaa mmoja kwa tamaa zake akataka kuzinunua ndipo akaenda NMB sinza kuchukua pesa ili awalipe.
Alipo fika bank ndipo jamaa huyo akawalengesha kwa police kisha wakakamatwa, maana toka mwanzo mbali ya kuongeanao kiustaarabu lakini alikuwa tayari ameisha washtukia kwamba sio raia wema.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies