Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MASHABIKI WA AC MILAN WAJA NA STYLE MPYA.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mashabiki wa AC Milan waja na staili mpya ya kukaa uwanjani…unajua kwa sababu gani? Michezo Kutofanya vizuri kwa klabu ya AC Milan kumewafanya mashabiki wao kuingiwa na hofu na uongozi uliopo madarakani hadi kufikia hatua ya kuandamana.
Mmiliki wa klabu hiyo Silvio Berlusconi ambaye ameiongoza klabu hiyo kwa miaka zaidi ya 30 ameonekana kuchokwa na mashabiki wa timu hiyo ambao sasa wameamua kuandamana kutaka aondolewe kwenye nafasi yake.

Mashabiki hao wameandamana kwa staili ya aina yake huku wakikaa uwanjani na kuonesha alama ya ‘BASTA’ ikimaanisha “Sasa imetosha”. Wengi wanataka kiongozi huyo aiuze klabu yake ili mtu mwingine atakayeinunua ifanye vizuri.

Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top