Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MTOTO WA AJABU AZALIWA MKOANI DODOMA SOMA ZIDI HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mkazi wa kijiji cha Chibwechagula Mkoani Dodoma Ruth Matonya mwenye umri wa miaka 26 amejifungua mtoto wa ajabu ambaye nusu ya sura yake inafanana na chura na nusu nyingine inafanana na binadamu.

Mtoto huyo alizaliwa katika kituo cha afya cha Mtakatifu Luka kinachomilikiwa na kanisa la Anglikana alifariki dunia muda mfupi baada ya kuzaliwa.
Kwa mujibu wa Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo Edwin Kihura alisema mara baada ya mama huyo kufika katika kituo hicho alikua na uchungu ambao haukua na kikomo lakini alishindwa kujifungua kwa njia ya kawaida licha ya njia ya uzazi kufunguka.
Alisema kutokana na hali hiyo iliwalazimu kumfanyia upasuaji mama huyo kwa lengo la kuokoa maisha yake na mtoto na mara baada ya upasuaji waliweza kutoa mtoto mwenye jinsia ya kike ambaye alikua na sura isiyoeleweka na sura yake nusu ilikua na binadamu na nyingine ya chura.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top