Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAGARI MATATU YAGONGANA ENEO LA MTONI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ndugu msomaji wangu habari zilizo nifikia hivi punde nikwamba magari matatu yamegongana katika eneo la mtoni mtongani chini ya dalaja karibu na msikitini jijini dar es salaam. Katika tukio hilo limeyausisha magari aina ya centa ndogo, daladala pamoja na Toyota cresta.


Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba centa imeama njia na kujikuta inagonga ubavuni mwa daladala,  kisha daladala ikaigonga cresta. Baada ya kutokea kwa ajili iyo kumesababisha usumbufu mkubwa sana kwa watumij wa barabara iyo maana kumezua foreni kuanzia eneo la tukio mpaka maeneo ya T.I.A (uhasibu).
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top