Watu hawafanyi kazi eti kisa wanaogopa kuchekwa na wenzi wao,wakati uku wakiwa wamesahau kuwa kazi ni kazi maana atakama utakuwa unafanya kazi ambayo unaona si nzuri kwa marafiki zako,mwisho wa kazi yako utakacho kipata wale waliokuwa wanakucheka ndio wa kwanza kuja kukuomba uwasaidie kiasi fulani cha pesa.
JE KUNA ULAZIMA AU UMUHIMU WA SISI VIJANA KUCHAGUA KAZI ZA KUFANYA ILI ZITUINGIZIE KIPATO?
mutalemwa-masgider.blogspot.com
mutalemwa-masgider.blogspot.com
