Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KAZI NI KAZI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Watu hawafanyi kazi eti kisa wanaogopa kuchekwa na wenzi wao,wakati uku wakiwa wamesahau kuwa kazi ni kazi maana atakama utakuwa unafanya kazi ambayo unaona si nzuri kwa marafiki zako,mwisho wa kazi yako utakacho kipata wale waliokuwa wanakucheka ndio wa kwanza kuja kukuomba uwasaidie kiasi fulani cha pesa.
 
JE KUNA ULAZIMA AU UMUHIMU WA SISI VIJANA KUCHAGUA KAZI ZA KUFANYA ILI ZITUINGIZIE KIPATO?
mutalemwa-masgider.blogspot.com
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top