Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ZIFUATAZO NI DAWA ZILIZOFUTIWA USAJILI, BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Dawa zifuatazo zimefutiwa usajili na shilika la chakula na dawa TFDA Tanzania.

1. Dawa ya Fungus ya vidonge Ketoconazole inasababisha madhara kwenye ini(Hepatotoxicity)

2. Dawa ya maji ya malaria Amodiaquine-ikitumika peke yake inaleta usugu wa vimelea vya malaria (Drug resistance)

3. Dawa ya maji ya kutibu  mafua na kikohozi aina ya PHENYLPROPANOL AMINE inaleta madhara hatarishi kama kiharusi(Haemorrhagic stroke)

4. Antibiotic ya sindano Chlorampenicol Sodium Succinate ya India pamoja na Cloxacillin capsule zinasababisha shida ya kupumua na kupoteza fahamu.


Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top