Hii ni gari aina ya Toyota Duet ambayo inauzwa kwa Tsh 5.5millions na bei inapungua.
Muonekano wa taa ya gari hii, pia gari hii iko hapa Dar es Salaam.
Gari hii Bima imeisha na exzost yake ni ya kuchomelea 2 iko vizuri sana kiukweli.
Muonekano wa upande wa nyuma
Itakuwa vizuri ungekuja uione na utest ipo vizurisana gari hii
Muonekano wake kwa upande
Muonekano wake ikiwa imefunguliwa mirango
Munekano wake kwa upande wa nyuma. Tuwasiliane kupitia 0659 91 9292 naitwa Mutalemwa
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies