Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAKUBWA KWA WADOGO JAMANI EBU TUMRUDIE MUNGU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Vijana kwa wazee siku izi tumekuwa watumwa wa mtandao wa utandawazi na kumsahau Mungu wetu, ivi kweli tunatenda haki kwa kufanya ivi?? kwa mfano ebu mtazame mtoto hapo chini kwenye picha na vuta hisia kwa mazingira ya kwaida je unajisikiaje?.


Ushauri wangu kwako nikwamba tumludie Mungu jamani, atakama huna nafasi ya kwenda kusali kanisani au msikitini basi chukua mda kama dakika 2 na uzitumie kumuomba Mungu wako kwa mambo mema anayokutendea.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top