Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA AJALI ILIYOTOKEA ZAMBIA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo.

Ajali mbaya ya moto imetokea jana majira ya saa kumi na moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo.

Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto, chanzo cha ajali hii ni baada ya kugongana kwa magari mawili yamafuta, ambapo gari la kwanza lilikuwa ni mali ya mtanzania na wakati gali la pili likiwa ni mali ya wazambia. 
  


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    


In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top