Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

AFYA KWA WANAWAKE WAJAWAZITO.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Kila mwanadamu hususan wale walioko katika mahusiano, hufurahia sana pale kunapokuwa na dalili za kuitwa baba au mama, kwa maana zinapokuwepo taarifa za mwanamke kuwa mjamzito.

Hata hivyo, furaha hizi mara kadhaa pia zimekuwa zikiishia kuwa machungu baada ya ujauzito kuharibika. Hata hivyo, masikitiko mengi yatokanayo na kuharibika kwa ujauzito, yanaweza kuepukika kama tu watu tutafahamu baadhi ya mambo ya msingi ambayo tunatakiwa kuyazingatia wakati tunapokuwa na mzazi mtarajiwa katika sehemu tunazoishi.

Na hapa, ni baadhi ya dalili ambazo si nzuri kwa mwanamke aliye mjamzito kama zinavyoelezwa na bingwa wa masuala ya uzazi na magonjwa ya kina mama Dr. Mashavu Khalid Othman.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top