Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

DINI YAGEUKA BIASHARA MAKANISANI.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
                            NDUGU ZANGU TUNAELEKEA WAPI???
Jamani ndugu zangu watanzania tunakoelekea nikubaya tena kubaya sana,maana kama tumefikia kupiga mateke vifaa maarum vya kutolea sadaka makanisani,sijui tunamaanisha nini napia tunaelekea wapi..ila hayayote nikutokana na uibukaji wa dini zaidi ya moja au yaweza kuwa nimoja ya utandawazi kitu ambacho kinapelekea kuibuka madhehebu zaidi kuzidi yale tuliyokuwanayo kipindi cha nyuma.

yote nimapito ya dunia ila napenda nimalize kwa kusema neno moja kwamba,wanadam tutazungukaaa mpaka basi ila dini ya KATORIKI NA ISLAMIC ndizo dini zitakazobaki zikiwa hai napasipo kuwa na longo longo kama tunazo zisikia uko kwa wenzetu.je nini kifanyike kutokana na hili tatizo linalotukabili hapa nchini Tanzania???????????????
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top