Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NDEGE ILIYOTUA KWA DHARURA UWANJA WA NDEGE ARUSHA YATOLEWA KWENYE TOPE

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.


MAGARI mawili  kutoka kampuni ya Flying Cargo ya Arusha na Simba Trucking leo alasiri yalifanikiwa kuinasua ndege ya shirika la ndege la Ethiopia, Boeing 767 iliyokjuwa imenasa katika tope la uwanja wa ndege wa Arusha.
















Magari hayo mawili  yenye winch T.897 APE na T. 958 AKS yalianza kazi hiyo saa 8.10 alasiri na kuiweka katika eneo la lami saa 9.02 alasiri.


Kabla ya kuvutwa, ndege hiyo ilikaguliwa na wakaguzi sita  wa ndege kutoka nchini Ethiopia na wawili wa Tanzania. Itakaguliwa tena na huenda ikaruka kesho. --- [via blogu ya Beda Msimbe,
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top