Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATOTO 13 WAZALIWA SIKU YA MKESHA WA MWAKA MPYA 2014 IRINGA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
WATOTO 13 WAZALIWA SIKU YA MKESHA WA MWAKA MPYA 2014 IRINGA
Muuguzi  wa  zam katika Hospital ya  rufaa ya  mkoa  wa Iringa Eda  Sanga  akimsaidia mmoja kati ya akina mama  waliojifungua  wakati wa mkesha wa mwaka mpya kumweka  sawa mtoto  wakeMuungauzi wa  zam katika Hospital  ya  rufaa ya  mkoa  wa Iringa Eda  Sanga alisema kuwa   jumla ya  watoto 13  wamezaliwa  wakati wa mkesha wa  mwaka mpya na kuwa kati ya watoto hao  7 ni  wa kiume na watano wa kike na watoto  watatu kati yao  wamezaliwa kwa njia ya upasuaji na   mama  zao  wanaendelea  vizuri .
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top