Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MBWA MWITU WATISHIA MAISHA YA RAIA WA KIPAWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mbwa mwitu nikundi la vijana ambao wanajiusisha na kukaba na kupora watu nyakati za usiku. kundi hili linasadikika kuwa utembea wakiwa kwenye kundi moja au zaidi kulingana na mipango ya mashambulizi yao jinsi walivyo ipanga kuifanya siku iyo, wakiwa na siraha kama mapanga, visu, nyembe, pamoja na vipisi vya nondo.

kundi hili linawajumuisha vijana kutoka Mbagara, kipawa, kongowe, na maeneo yanayo zunguka jiji la dar-es-salaam.
ivi karibuni wananchi wa kipawa walifanikiwa kuwauwa vijana wawili wa kundi ilo la mbwa mwitu. ila cha

kusikitisha zaidi ni kwamba kati ya wale vijana walio uliwa na wananchi wenye asira kari, mmoja wao alikuwa ni mtoto wa mchungaji

baada ya tukio ilo la vijana wenzao kuuliwa, siku ya mazishi vijana hao wa kundi la mbwa mwitu, walipanga kufanya mashambulizi kwenye eneo la msiba, lakini jitihada zao hazikuweza kufanikiwa, kutokana na wananchi kuwai kutoa taarifa kwenye kituo cha police na ndipo, police waliingia mtaani kuanza kuimalisha ulinzi wa raia pamoja na mali zao.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top