Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KUNA UHUSIANO GANI KATI YA DINI, NA MAPENZI?

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
           

Mimi kwa jina naitwa Mosesi, ni mkazi wa mkoa wa katavi, umli wangu ni miaka 29. nina mpenzi wangu anaitwa Aisha. nimedumu naye kwa mda mrefu sana, kama miaka miwili na nusu hivi, tumepanga mambo mengi mazuri sana juu ya uhusiano wetu baina yangu mimi na yeye. ikiwa moja ya mipango hiyo ni kufunga ndoa pamoja.

lakini chakushangaza nipale familia yake wanapo amua kusema kwamba kama anataka kuoana na mimi ni lazima mimi nikabadili dini na kuwa mwislamu kama yeye. Jambo hili linaniumiza kichwa sana kiasi kwamba mpaka nakosa usingizi saazingine. Lakini kwa upande wake yeye Aisha yupo tayari kuoana na mimi ingawa itambidi kubadili dini na kunifuata mimi kama mkristo.

nimekaa na kuwaza sana juu ya mada hii, lakini majibu niliyopata naona kama hayajitosherezi, nikaona ni vyema niombe msaada wa kimawazo kutoka kwako ewe msomaji na mfuatiliaji wa habari kwa kupitia kwenye blog hii ya rafiki yangu.

Tafadhari naomba ushauri kutoka kwako, nifanye nini mpaka nitimize ndoto yangu juu ya binti huyu?? Kwaleo nihayo tu, nakutakia siku njema na Mungu akubariki.

                                                        Ameni


Jiunge na mi kwa kubonyeza kwenye link zifuatazo chini ili kupata habari mpya zaidi. 

        FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO KWA NJIA YA SAUTI
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top